Wednesday, March 26, 2014

SHABIKI WA MAN U AKIMPA ''MAKAVU LIVE'' DAVID MOYES


Hii ilikuwa katika mechi dhidi ya Man City..shabiki uzalendo ulipomshinda na kuanza kumporomoshea mitus kocha wa Man United 'The Chosen One'' David Moyes.

MAN UNITED MDEBWEDO YANYOLEWA 3 NA CITY

 
 

 Edwin Dzeko akishangilia


Manchester City iliendelea kujiimarisha na kuikosesha amani klabu ya Manchester United katika ligi kuu ya premier.
Sio hilo tu bali Man City wanaongeza shinikizo kali kwa Chelsea walio juu kwenye jedwali la ponti katika ligi hiyo.
Man Uinted walipata kichapo cha mbwa cha mabao matatu bila nyumbani Old Trafford.
Edin Dzeko alitupia mabao mawili katika kila kipindi kwa City hapo jana huku Yaya Toure akizidisha machungu kwa bao la tatu mwishoni mwa mechi bila jibu kutoka kwa Man United.
Sasa vijana hao wa City wanashikilia nafasi ya pili nyuma ya Chelsea.

 
Kocha wa United Moyes akilia kwa uchungu


 Kambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

 
Hapa kazi tuu

Fellaini akijaribu kumwaga majaro

Niache bhanaaaa mbona shoboo

 
MAN UTD 0-3 MAN CITY