Monday, January 27, 2014

MOHAMED SALAH ASAJILIWA CHELSEA


 Mohamed Salah

Mohamed Salah weekend hii alikamilisha vipimo vya afya jijini Paris na kupewa mkataba wa miaka mitano na nusu, Salah amekabidhiwa uzi namba 15.

Baada ya kusaini mkataba jijini Paris Salah alisikika akisema 'I'm very happy to sign for Chelsea, such a big club in the world. I hope I can make the Chelsea supporters happy and have a good career at the club for many years to come.'

BAINES AONGEZA MKATABA EVERTON

Leighton Baines ameongeza mkataba na timu yake ya Everton ambapo mkataba huo wa miaka minne utambakisha Everton mpaka 2018. Baines amekamilisha taratibu hizo na kuzima kabisa uvumi uliokuwepo kwamba huenda angesajiliwa na Manchester United.

Kocha wa Everton Roberto Martinez amesema "ni kati ya mabeki wa kushoto mahiri katika soka la Uingereza na duniani kote na hvyo nategemea makubwa toka kwa Baines"


Leighton Baines

ARSENAL YAKAMILISHA UDHAMINI WA PUMA KULAMBA PAUNDI MILIONI 150

Timu ya soka ya Arsenal imethibitisha kuwa kampuni ya Puma ndio watakuwa wadhamini wakuu wa vifaa vya michezo, kabla ya hapo Arsenal ilikuwa ikidhaminiwa na kampuni ya Nike.

Udhamini huo utafikia paundi milioni 150 ndani ya miaka mitano.
Taarifa kutoka klabu ya Arsenal zimesema mkataba huo wa udhamini wa vifaa utaanza rasmi
Effective from July 1, 2014, PUMA will become the official kit partner of Arsenal. In addition to producing the playing and training kit for all Arsenal teams, PUMA has acquired wide-ranging licensing rights to develop other Arsenal branded merchandise on a global basis. This new commercial partnership represents the biggest deal in PUMA and Arsenal’s history.

Read more at: http://ladyarse.co.uk/2014/01/arsenal-confirm-puma-deal-to-the-stock-exhange/ | Daily Cannon
 1 julai,2014 ambapo Puma watadhamini vifaa kwa timu zote za Arsenal.

puma-giroud
Effective from July 1, 2014, PUMA will become the official kit partner of Arsenal. In addition to producing the playing and training kit for all Arsenal teams, PUMA has acquired wide-ranging licensing rights to develop other Arsenal branded merchandise on a global basis. This new commercial partnership represents the biggest deal in PUMA and Arsenal’s history.

Read more at: http://ladyarse.co.uk/2014/01/arsenal-confirm-puma-deal-to-the-stock-exhange/ | Daily Cannon
Effective from July 1, 2014, PUMA will become the official kit partner of Arsenal. In addition to producing the playing and training kit for all Arsenal teams, PUMA has acquired wide-ranging licensing rights to develop other Arsenal branded merchandise on a global basis. This new commercial partnership represents the biggest deal in PUMA and Arsenal’s history.

Read more at: http://ladyarse.co.uk/2014/01/arsenal-confirm-puma-deal-to-the-stock-exhange/ | Daily Cannon
Effective from July 1, 2014, PUMA will become the official kit partner of Arsenal. In addition to producing the playing and training kit for all Arsenal teams, PUMA has acquired wide-ranging licensing rights to develop other Arsenal branded merchandise on a global basis. This new commercial partnership represents the biggest deal in PUMA and Arsenal’s history.

Read more at: http://ladyarse.co.uk/2014/01/arsenal-confirm-puma-deal-to-the-stock-exhange/ | Daily Cannon
Effective from July 1, 2014, PUMA will become the official kit partner of Arsenal. In addition to producing the playing and training kit for all Arsenal teams, PUMA has acquired wide-ranging licensing rights to develop other Arsenal branded merchandise on a global basis. This new commercial partnership represents the biggest deal in PUMA and Arsenal’s history.

Read more at: http://ladyarse.co.uk/2014/01/arsenal-confirm-puma-deal-to-the-stock-exhange/ | Daily Cannon

CABAYE KUTUA PSG

Taarifa zilizopo kwenye gazeti la Le Parisien la leo limeripoti kwamba PSG wataelekea Newcastle kukandamiza dau la pili la Paundi milioni 20 kutoka milioni 14 ili kumnasa Yohan Cabaye.

Mkurugenzi wa PSG Olivier Letang ataelekea Kufanya mkutano na Uongozi wa Newcastle ili kumnasa Cabaye.


Yehan Cabaye



MICHAEL ESSIEN AMFUATA BALLOTELI AC MILAN

Kiungo machachari wa Chelsea mghana Michael Essien amekamilisha taratibu za usajili wa kuhamia AC Milan, pamoja na vyombo vya habari vya Italia kuripoti kuwa Essien alishindwa katika vipimo vya afya.

Essien aliekipiga Chelsea tangu msimu wa 2005 amesajiliwa na AC Milan ambapo atakipiga mpaka june 2015. Essien alisikika akisema “Just signed my contract to join one of the best clubs in the world. I’m very happy and looking forward to winning with the team.”

 Kocha mwenye vituko vingi wa Chelsea Jose Mourinho amesema “We would have been happy had he stayed because he is fantastic player for the team.”

 Essien mwenye umri wa miaka 31 atatangazwa rasmi kuwa mchezaji wa AC Milan siku ya jumanne (Kesho).