Monday, September 23, 2013

BREAKING NEWZ!!!!!!!! WESTGATE NCHINI KENYA KIMENUKA JENGO LALIPULIWA

Huu ni muhtasari uliotolewa na BBC Yaliyojiri Huko Westagate
15:20 Polisi waonekana wakikimbia huku na kule katika harakati zao hizo dhidi ya Al Shabaab

14:56 Mkuu wa majeshi Meja Jenerali Julius Karangi amesema magaidi hao wanaweza kujisalimisha ikiwa wanataka kwa sababu jeshi litakabiliana nao vilivyo. Pia amesema kuwa Kenya inakabiliana na magaidi wa kimataifa

14:35 Ole Lenku anasema kuwa hali ingali tete lakini vikosi vya usalama vya Kenya vinakaribia kuwazingira magaidi hao...Hadi kufika sasa watu 62 wamefariki na wengine zaidi ya 175 kujeruhiwa. Pia ameongeza kuwa magaiodi wote ni wanaume, kutokana na taarifa za awali kuwa magaidi hao walikuwa wanaongozwa na mwanamke

14:30 Ole Lenku anasema kuwa wanajeshi kumi wamejeruhiwa na wanapokea matibabu. Pia mateka karibu wote wameweza kuokolewa. Ole Lenku pia amesema kuwa wameweza kuwaua magaidi wawili

14:28 Waziri wa usalama Joseph Ole Lenku anasema kuwa moshi ulitokana na moto uliosababishwa na magaidi wlaioko ndani ya jengo hilo kujaribu kusambaratisha juhudi za wanajeshi wa Kenya dhidi yao

14:03 Mkuu wa polisi David Kimaiyo asema kuwa vikosi vya usalama vinakaribia kudhibiti jengo hilo lote na vimeingia ndani kabisa ya jengo hilo kiasi cha kuwaokoa baadhi ya mateka
14:00 PM: Milipuko zaidi yasikika katika jengo hilo

13:54: Mwandishi wa BBCIdriss Situmaaliye katika eneo la Westgate anasema duru zinaarifu kuwa vikosi vya usalama vya Kenya vinasema kuwa ndivyo vimelipua sehemu ya jengo kujaribu kuingia ndani kabisa ya jengo hilo
13:52 PM Magari ya Ambulance yaobnekana yakienda katika eneo la shambulizi pamoja na magari ya zima moto. Vikosi vya usalama vinawataka watu kuondoka karibu na eneo la operesheni hiyo ili kuwawezesha kufanya kazi yao

13:49 pm: Moshi mkubwa mweusi waonekana ukitoka juu ka juu katika jengo hilo haijulikani nini kilichosababisha
13:19 pm Moshi mkubwa unaonekana ukitoka katika jengo la Westgate ambako wapiganaji wa Al Shabaab wanawazuilia mateka wakenya ambao idadi yao haijulikani

13:12 PM Viongozi wa kidini watoa taarifa kulaana kitendo cha Al Shabaab
12:30 PM: Milipuko zaidi na milio ya risasi imesikika katika jengo la Westgate huku vikosi vya usalama vikifanya jitahada za misho kuwa
 Heavy smoke rises from the Westgate Mall in Nairobi, Kenya
Westgate ikiwaka moto
 
Wanausalama wakikabiliana na Magaidi

Mwamanchi akijaribu kujinusuru

Polisi wakiwanusuru wananchi

Wanausalama wakiokoa wananchi


Maiti Westage






 
 
Majeruhi wakisaidiwa





Masikini mtoto wa watu katika taharuki
















ARSENAL HAKUNAGA...MOTO CHINI

Vijana wa Arsene Wenger wameendeleza wimbi la ushindi kwa kuicharaza Stoke City kwa goli 3-1 katika dimba la Emirates. Sio mwingine aliefanikisha ushindi huo 100% bali ni Metsut Ozil alienunuliwa kwa gharama kubwa toka Real Madrid. Magoli yalitupiwa kambani na Aaron Ramsey,Martesacker na Sagna.Wakati la kufutia machozi likifungwa na Cameron

On the run: Mesut Ozil drives forward for Arsenal against Stoke
Ozil akiongoza mashambulizi


Top of the league: Aaron Ramsey celebrates his goal that helped send Arsenal top
In the goals: Aaron Ramsey celebrates with teammates after scoring against Stoke
Wachezaji wa Arsenal wakimpongeza Ramsey baada ya kufunga goli

In a good run of form: Ramsey celebrates his good goalscoring start to the season
Back in it: Charlie Adam celebrates on the shoulders of goalscorer Geoff Cameron after Stoke make it 1-1
Mfungaji wa goli pekee la Stoke City
Heads up: Per Mertesacker jumps to head in a goal against Stoke to re-gain the lead for Arsenal
Metesacker akipiga kichwa kufunga goli la pili
Back in front: Mertesacker is celebrates with Olivier Giroud and Laurent Koscielny after his goal
Metersacker oyeeeeeeeeeeeeeeeee
Beating his man: Olivier Giroud runs past a tackle Robert Huth
Giroud akichanja mbuga


Off target: Giroud has his shot on goal rebound off Stoke City's Ryan Shawcross
Falling down: Jack Wilshere goes between Jonathan Walters and Geoff Cameron
Wilshere chini ya ulinzi

Good feeling: Bacary Sagna celebrates with Giroud as he scores Arsenal's third goal
Sagna

MAN CITY YAICHARAZA MAN U BAKORA ZA KUTOSHA

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza Man United wamepata kipigo cha mbwa mwitu kutoka kwa Wakazi wenzao katika jiji la Manchester Man City chamabao 4-1 katika dimba la Ettihad.
Kilio kilianza pale Kun Aguero alipotupia bao la kwanza dk 16, nae Yaya Toure dk 45 akapigilia msumari mwingine. Kwa mara nyingine tena mwiba ukachomekwa na Aguero dk 47 kabla ya Samir Nasri kuhitimisha mazishi ya Man Utd katika dk ya 50. Goli pekee la kufutia machozi lilitupiwa kambani na Rooney kwa faulo ya kitaaalamu na kuelekez mojz kwa zote kambani. Mpaka mwisho Man C 4-1 Man U.

Mchezo ulikuwa hivi;

Manchester City: Hart 7, Zabaleta 7, Kompany 7, Nastasic 7, Kolarov 7, Jesus Navas 8 (Milner 71 6), Toure 8, Fernandinho 8, Nasri 9, Aguero 8 (Javi Garcia 86), Negredo 8 (Dzeko 75).
Wachezaji wa akiba hawakutumika: Richards, Lescott, Pantilimon, Jovetic.
Kadi ya Njano: Nastasic.
Magoli: Aguero 16, Toure 45, Aguero 47, Nasri 50.
Manchester United: De Gea 5, Smalling 6, Ferdinand 6, Vidic 5, Evra 6, Carrick 6, Fellaini 5, Valencia 5, Rooney 6, Young 5 (Cleverley 51 6), Welbeck 6.
Wachezaji wa akiba hawakutumika: Evans, Hernandez, Nani, Kagawa, Buttner, Amos.
Kadi ya Njano: Rooney, Valencia.
Goli: Rooney 87
Mwamuzi: Howard Webb

 Opening up: Aguero scores the opening goal of the derby in the first half
Aguero akitupia goli la kwanza

 At the double: Sergio Aguero scored twice as City romped to victory
 Perfect start: Aguero celebrates scoring the first goal in the derby
Sergio Kun Aguero akishangilia goli

 Punch drunk: De Gea catches Kompany but the skipper soldiered on
Hekaheka langoni mwa Man Utd


Doubling the advantage: Yaya Toure put City 2-0 up in first half stoppage time
Yaya Toure akitupia goli la pili

Derby delight: Yaya Toure celebrates putting City 2-0 up on the stroke of half time
Yaya Toure akishangilia goli la pili


Face in the crowd: Robin van Persie missed the game through injury and watched from the stands
Van Parsie akiwa jukwaani akiangalia jahazi la Man Utd likizama

Not going to plan: Wayne Rooney, Danny Welbeck and Michael Carrick stand dejected after another goal
Jamani kweli tunachapwa kama watoto...mhh..................................

Crowded out: Marouane Fellain vies for the ball with Manchester City's Yaya Toure and Vincent Kompany
Fellaini akichanja mbuga

Manuel Pellegrini David Moyes
Makocha katka hali tofauti..kushoto kocha wa Man City Manuel Pellegrini na kulia kocha wa Man Utd David Moyes

Too little too late: Rooney scores from a free kick to make the score 4-1 in the final ten minutes
Faulo ya Rooney ikielekez kambani


Easy does it: Samir Nasri celebrates making it 4-0
Punch perfect: Nasri hits the corner flag in celebration
Samir Nasri akishangilia baada ya kuhitimisha msiba wa Man Utd

 Nightmare: Moyes had a horrible experience in his first Manchester derby
Benchi la Man UTD Zofli halii...................uuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Teammates on different sides: Joe Hart shakes hands with Rooney at the endJoe Hart akipeana mkono na Rooney baada ya mtanange kumalizika


Trudging off: Rooney, Chris Smalling and David de Gea leave the pitch dejected at the endInauma lakini....................................................