Tuesday, September 17, 2013

MAJEMBE YA ARSENAL YAKIJIFUA KUWAKABILI MARSEILLE JUMATANO


Walcott,Ozil,Vermalain,Gibbs,Geroud na Chamberlain wakijinoa

Watoto wa Wenger mazoezini

Sagna,Giroud na Koscielny

Ozil na Per Mertesacker

Vermaelen
 
Arsene Wenger akifuatilia mazoezi



Ozil
 

Szcieny
 
Walcott
 

HUYU NDIO JAQUILINE WOLPER, DEMU MKALI SWAGA ZA NGUVU

Jacline Wolper, katika warembo wa Bongo ninaowakubali kwa swagga basi ni Wolper, hakika ni demu mkali na anaejua kupangilia vitu vikali, kwa kifupi hajiangushi kila anapofikiria suala la kupiga pamba...ili kuthibitisha maneno yangu cheki pic zifuatazo..aaaah Wolper aaaaah haya bhanaaaaa wanafaidi mhhhhhh!!!






Mautunduu

=""




=""

=""

NANI ANATAKA KUBEMBEA HAPA?

AHMED MGENI AFARIKI DUNIA, KUZIKWA LEO ZANZIBAR


 
Ahmed Mgeni enzi za uhai wake

Mwanamuziki mahiri wa muziki wa Taarabu nchini Ahmed Mgeni amefariki dunia majira ya alfajiri saa 12:30 huko Zanzibari baada ya kuugua kwa muda mrefu. Habari za kuthibitishwa zimeleza kuwa marehemu atazikwa leo alaasiri katika makaburi ya Mwanakwerekwe huko Zanzibar.

LIGI YA MABINGWA WA ULAYA (CUEFA CHAMPIONS LEAGUE) NYASI KUWAKA MOTO


UEFA Champions League

 

All times CAT (SA, GMT+2)
Tuesday 17 September 2013
Man UtdvBayer LeverkusenOld Trafford 20:45

OlympiacosvPSGKaraiskakis Stadium
20:45 
Bayern MunichvCSKA MoscowAllianz Arena
20:45

BenficavAnderlechtEstadio da Luz
20:45 
Real SociedadvShakhtar DonetskAnoeta
20:45 
FC CopenhagenvJuventusParken
20:45 
GalatasarayvReal MadridTurk Telekom Arena
20:45

PlzenvMan CityStruncovy Sady
20:45

Wednesday 18 September 2013
FK Austria ViennavFC PortoFranz Horr Stadium
20:45 
Atletico MadridvZenit St PetersburgVicente Calderon
20:45 
BarcelonavAjaxCamp Nou
20:45 
MarseillevArsenalStade Velodrome
20:45 
AC MilanvCelticSan Siro
20:45 
NapolivBorussia DortmundSan Paolo
20:45 
Schalke 04vSteaua BucurestiVeltins Arena
20:45 
ChelseavBasleStamford Bridge
20:45