Wednesday, September 11, 2013

PICHA ZA KWANZA ZA OZIL AKIWA ARSENAL


Ozil akiwa katika pozi na mchezaji mwenzake wa Arsenal Charmberlain
Mesut Ozil
Ozil


BALE AKUTANA NA CRISTIANO RONALDO


1
Bale akisalimiana na Ronaldo muda mfupi baada ya kutua Spain kujiunga na klabu yake mpya ya Real Madrid akitokea Uingereza katika klabu ya Tottenham Hotspurs. Usajili wa Bale umevunja rekodi ya dunia kwa kusajiliwa kwa kiasi cha paundi za uingereza milioni 86. Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na Ronaldo aliesajiliwa kwa Paundi milioni 80.


3




28
Bale na kocha Ancelloti