Friday, August 2, 2013

VIDEO YA MAWAIDHA YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI


UNAIKUMBUKA TSUNAMI? TAZAMA VIDEO HII


PICHA YA SIKU

KAULI YA PINDA "YAMCOST" ASHITAKIWA NA HAKI ZA BINADAMU


Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Hellen Kijo-Bisimba akiwaonyesha waandishi wa habari, stakabadhi na hati ya mashtaka yaliyofunguliwa dhidi ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika Mahakama Kuu ya Tanzania Dar es Salaam jana.

Kauli ya Waziri mkuu wa Tanzania Mizengo Kayanza Peter Pinda aliyoitoa hivi karibuni kuwa mtu yeyote atakaekaidi amri ya dola apewe kichapio imemtia matatani, kwani kituo cha sheria na haki za Binadamu kimeamua kumfungulia mashtaka.


Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Kayanza Peter Pinda.