Tuesday, March 26, 2013

WEMA WA WEMA WAMRUDISHA KAJALA URAIANI


Kajala akimkumbatia Wema Sepetu kwa machozi ya furaha baada ya kumtolea faini ya milioni 13 na kumuepusha na kifungo cha miaka 8 jela baada ya kupatikana na hatia ya kula njama ya kubadilisha umiliki wa nyumba na kosa jingine la kushiriki kusafisha pesa chafu ambacho ni kinyume cha sheria.


Kajala na Wema nje ya mahakama.

Kajala akiwa na Lulu akizungumza na waandishi wa habari.

Kajala na Dk Cheni nje ya mahakama baada ya hukumu.