Monday, February 11, 2013

NIGERIA MABINGWA AFRIKA

Timu ya soka ya Taifa ya Nigeria imetawazwa kuwa mabingwa wapya wa Afrika baada ya kuichabanga Burkina Faso kwa bao 1-0  katika mchezo wa Fainali katika dimba la Soccer City mpambano ukihudhuriwa na mashabiki wapatao 85,000.
 Goli pekee na la ushindi lilifungwa na Sunday Mba katika dk 39.

Wachezaji wa Nigeria wakishangilia goli lililofungwa na Sunday Mba.