Friday, November 30, 2012

MAZISHI YA SHARO MILIONEA


MAREHEMU HUSSEIN RAMADHANI MKIETI "SHARO MILIONEA"

Zifuatazo ni picha za matukio katika mazishi ya msanii mchekeshaji na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Hussein Ramadhan Mkieti a.k.a SHARO MILIONEA yaliyofanyika nyumbani kwao Muheza,Tanga siku ya Jumatano 28/11/2012.


Sajuki na Mlela wakiwa msibani



Umati wa waombolezaji wakiwa msibani


Baadhi ya wasanii waliohudhuria msibani Belle 9,Shetta,Timbulo na Tundaman


Mama mzazi wa Sharo Milionea akilia kwa uchungu katika msiba wa mwanawe.


Mjomba wa Sharo Milionea akimwaga chozi


Wema Sepetu akiwa msibani


Miss Kinondoni 2 Husna akimwaga Chozi

WALIOTOA NASAHA

Steve Nyerere

Nape Nnauye

Mzee Majuto

Mwana FA akitoa salamu kwa niaba ya wasanii wa Bongo flava

Mwili wa marehemu Sharo Milionea ukianza safari kuelekea makaburini


Kila mtu alijitahidi kufanya awezavyo ili mradi ashuhudie mazishi


Nnauye akiwa eneo la makaburini

WALIOZIMIA









MAKABURINI

Mzee Majuto





GARI ALILOPATA NALO AJALI