Wednesday, July 18, 2012

SHOW YA LEKA DUTIGITE UWANJA WA LAKE TANGANYIKA KIGOMA POTEZA MBAYAA


Umati wa watu waliohudhuria Show ya Leka Dutigike iliyofanyika katika uwanja wa Lake Tanganyika,Kigoma na kushirikisha wasanii wote ambao ni wazaliwa ama wenye asili ya Kigoma. Wakiongozwa na wabunge Vijana Mh Zitto Kabwe,Halima Mdee,Ester Bulaya na Joshua Nassari.

Wasanii wanaounda kundi hilo la wasanii wa Mkoa wa Kigoma ni Chege,Mwasiti,Banana Zorro,Peter Msechu,Diamond,Linex,Fid Q,Baba Levo,Makomando,Abdu Kiba,Ommy Dimpoz,Recho na wengineo wengi.

Wasanii wanaounda kundi la Kigoma All Stars


Mh Zitto Kabwe akizungumza na wananchi waliohudhuria uwanja wa Lake Tanganyika




Mh Halima Mdee (mbele), Ester Bulaya(katikati) na Joshua Nassari wakiserebuka



Wabunge wakiserebuka


Fid Q akifanya makamuzi


Mwasiti nae akitoa burudani

HAPPY BIRTHDAY NELSON MANDELA "MADIBA"


Nelson Rolihlahla Mandela ametimiza miaka 94. Alizaliwa 18 Julai 1918. Aliwahi kuwa Rais wa Afrika ya Kusini na alishika wadhifa huo tangu mwaka 1994 mpaka 1999. Nakutakia maisha mema mzee Madiba Afrika bado inahitaji busara zako!

Mzee wa Afrika Nelson Mandela akiwa amebeba kombe la dunia pale Afrika ya Kusini ilipokuwa mwenyeji wa kombe hilo mwaka 2010 na Uhispania kuibuka bingwa wa Dunia katika ardhi ya Afrika.


Nelson Mandela enzi za kupigania uhuru