Monday, July 9, 2012

RATIBA KOMBE LA KAGAME 2012


KAGAME CUP 2012 FIXTURE
1-Sat. 14th July 1 APR vs WAU SALAAM Uwanja wa Taifa 2pm

2-YANGA vs ATLETICO Uwanja wa Taifa 4pm

3-Sun. 15th July 3 AZAM vs MAFUNZO Chamazi 4pm

4-Mon. 16th July 4 VITA CLUB vs PORTS Uwanja wa Taifa 2pm

5-SIMBA vs URA Uwanja wa Taifa 4pm

6-Tue. 17th July 6 ATLETICO vs APR Uwanja wa Taifa 2pm

7-WAU SALAAM vs YANGA Uwanja wa Taifa 4pm

8-Wed. 18th July 8 VITA CLUB vs URA Uwanja wa Taifa 2pm

9-PORTS vs SIMBA Uwanja wa Taifa 4pm

10-Thu. 19th July 10 ATLETICO vs WAU SALAAM Uwanja wa Taifa 2pm

11-MAFUNZO vs TUSKER Uwanja wa Taifa 4pm

12-Fri. 20th July 12 PORTS vs URA Uwanja wa Taifa 2pm

13-YANGA vs APR Uwanja wa Taifa 4pm

14-Sat. 21st July 14 AZAM vs TUSKER Uwanja wa Taifa 2pm

15-SIMBA vs VITA CLUB Uwanja wa Taifa 4pm

16-Sun. 22nd July REST DAY


QUARTER FINALS

Mon. 23rd July 16 B2 vs C2
17 A1 vs C3

Tue. 24th July 18 C1 vs A2
19 B1 vs A3

Wed. 25th July REST DAY
SEMI FINALS

Thu. 26th July 20 Winner 16 vs Winner 17

Thu. 26th July 21 Winner 18 vs Winner 19

Fri. 27th July REST DAY

FINALS AND 3rd PLACE PLAY OFFS
Sat. 28th July 22 Loser 20 vs Loser 21
23 Winner 20 vs Winner 21

DIVA AFUNGUKA ANAETAKA KUMUOA AWE NA MILIONI 500 TASLIMU


Loveness Love "Diva"

Mtangazaji maarufu wa radio moja ya jijini Diva Loveness Love,Clouds Fm amefunguka na kusema kuwa anaetaka kumtoa katika geti la Mzee Malinzi ambaye ni baba yake pale msasani basi kidume huyo atahitajika kuwa na Milioni 500 Taslimu.
Mtangazaji huyo wa kipindi cha ala za roho cha Clouds FM kinachoanza saa nne za usiku alikuwa akifanya mazungumzo na mtangazaji mwenzake Adam Mchomvu katika kipindi cha XXL mida ya saa 9:30 mchana Diva alifunguka kwa kujiamini kuwa mwanaume anaetaka kumuoa ni lazima awe na milioni 500 taslimu,ndipo atamng'oa kwa Mzee Malinzi, katika mazungumzo hayo Diva alisisitiza na alipoulizwa kama hatotokea akaema basi...tungoje mimi na wewe hatujui yetu macho na masikio. Dunia hii.

Diva katika possssssssssssss

LIL WAYNE AHUDHURIA NDOA YA MAMA YAKE MZAZI

Lil-Wayne-and-Birdman-at-Ms-Citas-wedding
Lil Wayne na Birdman wakiwa kanisani wakati mama yake Lil wayne akifunga ndoa

LIl-Wayne-and-son-at-ms-Cita-and-Avery-wedding
Lil Wayne a.k.a Lil Wiz akiwa na kidume chake Sarah kanisani

Lil-Waynes-Daughter-Reginae
Binti yake Lil Wiz aitwae Reginae akiwa na mtoto wa kiume wa Birdman katika shughuli hiyo ya kukata na mundu

10
Padri akimfungisha ndoa mama yake Lil Wayne na baba yake mpya.

Birdman-at-Jacita-and-Averys-wedding
Birdman akimuongoza mama yake Lil Wayne Ms Jacinta

Lil-Wayne-gushing-over-his-mother
9 (1)
Lil Wayne akiwa na mama yake aitwae Jacinta katika ndoa ya Ms Jacinta na Avery

5 (1)
Binti yake Lil Wayne Reginae akiwaongoza wenzake kwenda kusimamia harusi ya bibi yake

Lil-Waynes-sons-by-Sarah-and-Nivea
Vijidume vya Lil Wayne,Sarah na Nivea vikitinga kanisani kusimamia harusi ya bibi yao

12
Burudani kabambe iliporomoshwa kanisani utaaaaaaaaaaaaaamu