Monday, June 18, 2012

HUYU NDIE STAR WA FILAMU ZA NGONO ALIEMTOA UDENDA BALOTELLI


Mario Balotelli & the 32FF porn star - Footballer's secret date while girlfriend is away
Holly Henderson caught with Mario Balotelli
Mario Balotelli na Holly Henderson
Mario Balotelli & the 32FF porn star - Footballer's secret date while girlfriend is away
Mario Balotelli na Holly Henderson wakipata fegi katika maegesho ya magari jijini Manchester

Mchezaji mwenye matata na udambwidambwi mwingi Mario Balotelli akiwa na Holly Henderson ambaye ni mcheza filamu za ngono. Taarifa zilizopztikana mwishoni mwaka jana novemba zinasema Balotelli alikutana na Holly katika hoteli ya Manchester ambapo Holly alikuwa anapiga picha.
Imedokezwa kwamba wawili hao walikutana na kupeana mabusu ya nguvu katika eneo la maegesho ya magari kabla ya kusepa zao.

Wakati hayo yakitokea mchumba wa Balotelli alipokuwa Italia katika kazi za mitindo(Modelling)
Mario Balotelli & the 32FF porn star - Footballer's secret date while girlfriend is away

Mario Balotelli na mchumba wake Rafaella Fico

Mario Balotelli & the 32FF porn star - Footballer's secret date while girlfriend is away
Balotelli katika swaga za kapelo

Mario Balotelli & the 32FF porn star - Footballer's secret date while girlfriend is away
Holly Henderson anaedaiwa kuwa na uhusiano wa siri na Mario Balotelli




Holly Henderson Walks Around in a Bikini
Holly Henderson akiwa na mlinzi wake, sogea kipande kikutoe nnya

Holly Henderson akikatiza mitaani vidume mimacho balbu shingo feni
Holly Henderson Walks Around in a Bikini
Holly Henderson Walks Around in a Bikini
Holly Henderson Walks Around in a Bikini

Holly Henderson Walks Around in a Bikini
CHADEMA kama kawa
Holly Henderson Walks Around in a Bikini
Holly Henderson Walks Around in a Bikini
Holly anatafuta sehemu ya kuweka poss ufukweni
Holly Henderson Walks Around in a Bikini
Holly anaweka sawa chakula ya watoto
Holly Henderson Walks Around in a Bikini
Full Batraaaaaaaaaaa

BALOTELLI na swaga za body suit

UJERUMANI YATINGA ROBO FAINALI EURO 2012 YADUNGUA DENMARK


We kipara unaenda wapi? Mshambuliaji wa Denmark akichanja mbuga

Lars Bender alifunga bao la ushindi la Ujerumani siku ya Jumapili zikiwa zimesalia dakika 10 kabla ya kipenga cha mwisho, na kuiwezesha nchi yake kuwa miongoni mwa nchi nane ambazo zitashiriki katika michuano ya robo fainali.


Lars Bender akishangilia waya huku mlinda mlango wa Denmark akitambaa

Mechi nyingine ya kundi hilo la B ambayo ilichezwa wakati mmoja, kati ya Ureno na Uholanzi, Ureno walifuzu kwa ushindi kama huo wa magoli 2-1.
Bender, mwenye umri wa miaka 23, na ambaye ni mchezaji wa Bayer Leverkusen ya Ujerumani, aliizima ndoto ya Denmark ya mwaka 1992, walipowashinda Wajerumani katika fainali.

Mashabiki wa Ujerumani wakiwa wanakula bata huku wanafuatilia soka

Mashabiki wa Ujerumani wakishangilia baada ya chama lao kutinga robo fainali za EURO 2012

Ujerumani iliweza kuongoza katika mechi hiyo dakika ya 19 wakati Lukas Podolski alipofunga, lakini Michael Krohn-Dehli aliweza kuisawazishia Denmark dakika sita baadaye na kuipatia nchi yake matumaini ya kufika robo fainali.

Wachezaji wa Ujerumani hawakupendezwa na safari kutoka kituo chao cha nyumbani cha Gdansk, Poland, hadi Ukraine, lakini kutokana na ushindi wa Lviv, wameweza kufuzu kuingia robo fainali na watafurahia kuicheza mji ambao wameezeka kambi yao.

Kabla ya mechi ya Jumapili, mara ya mwisho Denmark ilipopambana na Ujerumani katika mashindano makubwa, ilikuwa ni fainali ya 1992, wakati Yugoslavia ilipopigwa marufuku kucheza, na hatimaye Denmark iliwashangaza wengi ilipoishinda Ujerumani katika fainali.

Timu ya Ujerumani ya mwaka huu ndio timu yenye vijana wenye umri mdogo zaidi katika mashindano ya mwaka huu, kwa jumla wachezaji wengi wakiwa na umri wa miaka 25 na siku 107.

Hii ni mara ya kwanza kwa Ujerumani kukamilisha mechi za makundi kwa rekodi safi mno ya asilimia 100.
GERMANY  Vs  DENMARK

EURO 2012 UHOLANZI DOROOOO YACHAPWA NA URENO


Christiano Ronaldo akitupia kambani bao la kwanza

Mabao mawili ya mshambuliaji Cristiano Ronaldo yaliiwezesha Ureno kuingia robo fainali ya michuano ya Euro 2012, kwa kuifunga Uholanzi, na pasipo shaka yoyote, kuwalazimisha kurudi nyumbani.


woyoooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!

Kwa Uholanzi kuwa na matumaini yoyote kuendelea kusalia katika mashindano hayo, walilazimika kuifunga Ureno magoli 2-0, na bao la kwanza la mkwaju wa kupinda kutoka kwa Rafael van der Vaart liliwapa matumaini Uholanzi walipoweza kutangulia.

Lakini mchezo wa Uholanzi uliendelea kufifia, na Ronaldo alifanikiwa kusawazisha, alipopigiwa mpira na mwenzake Joao Pereira.

Nani alimsaidia Ronaldo kufunga kwa mara ya pili, na Ureno ikavuka hatua ya makundi na kujiandikishia nafasi katika robo fainali.

Ureno sasa itacheza na Jamhuri ya Czech, inayoongoza kundi A.


Ronaldo akitoka uwanjani

Kwa Uholanzi, timu hiyo imeonyesha mchezo duni sana, kwa kushindwa katika mechi tatu za makundi, ilhali miaka miwili iliyopita, wao walimaliza katika nafasi ya pili katika fainali ya Kombe la Dunia nchini Afrika Kusini.

Itawachukua muda Uholanzi kumsahau Ronaldo, mchezaji nyota wa Real Madrid ya Uhispania, ambaye aliifungia klabu hiyo magoli 60 msimu uliopita, na katika mechi dhidi ya Jumapili alicheza kwa kasi na kwa juhudi na kuwaacha Waholanzi wamezubaa.
PORTUGAL 2-1  NETHERLANDS