Thursday, January 26, 2012

World's Richest Governments

We know the world's richest man is Carlos Slim Helu of Mexico,
after the two richest men in the world, Bill Gates and Warren Buffet gave away most of their fortune to charity.
You'll have to check with Forbes for the rest.
How about governments?
Which government is the richest (having most money that is, in US$)?
If you are expecting North American and European nations, wrong .........
While the countries may look rich, wealthy European nations can't withstand a prolonged major financial crisis, just like Greece .
The USA might have the biggest economy, but the American government is not at all rich;
(in fact, it can't even take out US$150bn if asked to now without resorting to borrowing.)
To date the US government has borrowed $14.5 trillion!
The UK , likewise, while the country/people are well off, the government isn't.
The UK government's debt stands at $9 trillion now!
 
 The World's Richest Governments immediately after the 2008-2009 financial crisis are:
 
1. PEOPLE REPUBLIC of China
National reserves: $2,454,300,000,000
 
2.Japan
National reserves: $1,019,000,000,000
 
3.Russia
National reserves: $458,020,000,000
 
4.Saudi Arabia
National reserves: $395,467,000,000
 
5. Taiwan (ROC)
National reserves: $362,380,000,000
 
6. India
National reserves: $279,422,000,000
 
7. South Korea
National reserves: $274,220,000,000
 
8.Switzerland
National reserves: $262,000,000,000
 
9. Hong Kong, China
National reserves: $256,000,000,000
 
10. Brazil
National reserves: $255,000,000,000
 
Here are the rest, in million US $:
 
11 Singapore / 203,436
12 Germany / 189,100
13 Thailand / 150,000
14 Algeria / 149,000
15 France / 140,848
16 Italy / 133,104
17 United States / 124,176
18 Mexico / 100,096
19 Iran / 96,560
20 Malaysia / 96,100
21 Poland / 85,232
22 Libya / 79,000
23 Denmark / 76,315
24 Turkey / 71,859
25 Indonesia / 69,730
26 United Kingdom / 69,091
27 Israel / 62,490
28 Canada / 57,392
29 Norway / 49,223
30 Iraq / 48,779
31 Argentina / 48,778
32 Philippines / 47,650
33 Sweden / 46,631
34 United Arab Emirates / 45,000
35 Hungary / 44,591
36 Romania / 44,056
37 Nigeria / 40,480
38 Czech Republic / 40,151
39 Australia / 39,454
40 Lebanon / 38,600
41 Netherlands / 38,372
42 South Africa / 38,283
43 Peru / 37,108
44 Egypt / 35,223
45 Venezuela / 31,925
46 Ukraine / 28,837
47 Spain / 28,195
48 Colombia / 25,141
49 Chile / 24,921
50 Belgium / 24,130
51 Brunei / 22,000
52 Morocco / 21,873
53 Vietnam / 17,500
54 Macau / 18,730
55 Kazakhstan / 27,549
56 Kuwait / 19,420
57 Angola / 19,400
58 Austria / 18,079
59 Serbia / 17,357
60 Pakistan / 16,770
61 New Zealand / 16,570
62 Bulgaria / 16,497
63 Ireland / 16,229
63 Portugal / 16,254
64 Croatia / 13,720
65 Jordan / 12,180
66 Finland / 11,085
67 Bangladesh / 10,550
68 Botswana / 10,000
69 Tunisia / 9,709
70 Azerbaijan / 9,316
71 Bolivia / 8,585
72 Trinidad and Tobago / 8,100
73 Yemen / 7,400
74 Uruguay / 8,104
75 Oman / 7,004
76 Latvia / 6,820
77 Lithuania / 6,438
78 Qatar / 6,368
79 Cyprus / 6,176
80 Belarus / 6,074
81 Syria / 6,039
82 Uzbekistan / 5,600
83 Luxembourg / 5,337
84 Guatemala / 5,496
85 Greece / 5,207
86 Bosnia and Herzegovina / 5,151
87 Cuba / 4,247
88 Costa Rica / 4,113
89 Equatorial Guinea / 3,928
90 Ecuador / 3,913
91 Iceland / 3,823
92 Paraguay / 3,731
93 Turkmenistan / 3,644
94 Estonia / 3,583
95 Malta / 3,522
96 Myanmar / 3,500
97 Bahrain / 3,474
98 Kenya / 3,260
99 Ghana / 2,837
100 El Salvador / 2,845
101 Sri Lanka / 2,600
102 Cambodia / 2,522
103 Côte d'Ivoire / 2,500
104 Tanzania / 2,441
105 Cameroon / 2,341
106 Macedonia / 2,243
107 Dominican Republic / 2,223
108 Papua New Guinea / 2,193
109 Honduras / 2,083
110 Armenia / 1,848
111 Slovakia / 1,809
112 Mauritius / 1,772
113 Albania / 1,615
114 Kyrgyzstan / 1,559
115 Jamaica / 1,490
116 Mozambique / 1,470
117 Gabon / 1,459
118 Senegal / 1,350
119 Georgia / 1,300
120 Panama / 1,260
121 Sudan / 1,245
122 Zimbabwe / 1,222
123 Slovenia / 1,105
124 Moldova / 1,102
125 Zambia / 1,100
126 Nicaragua / 1,496
127 Mongolia / 1,000
128 Chad / 997
129 Burkina Faso / 897
130 Lesotho / 889
131 Ethiopia / 840
132 Benin / 825
133 Namibia / 750
134 Madagascar / 745
135 Barbados / 620
136 Laos / 514
137 Rwanda / 511
138 Swaziland / 395
139 Togo / 363
140 Cape Verde / 344
141 Tajikistan / 301
142 Guyana / 292
143 Haiti / 221
144 Belize / 150
145 Vanuatu / 149
146 Malawi / 140
147 Gambia / 120
148 Guinea / 119
149 Burundi / 118
150 SeyChelles / 118
151 Samoa / 70
152 Tonga / 55
153 Liberia / 49
154 Congo / 36
155 São Tomé and Príncipe / 36
156 Eritrea / 22
 
Big national reserves doesn't guarantee prosperity however, for instance, the yearly expenses for China 's government is $1.11 trillion, their government must always think of economic growth and making more money. The PRC overspent $110bn last year, much of it towards modernizing their military, if it goes on like this their reserves can only last for 22 yrs.
The Malaysian gov't overspent $13bn last year, if it goes on like this their reserves can only last for 7 yrs.
The Singaporean government overspent $3bn last year, much of it rescuing their banks from financial crisis, if it goes on like this their reserves can last 68 yrs.
The Swiss gov't overspent $1bn last year, if it goes on like this their reserves can last 262 yrs.
A country normally can borrow up to 100% its GDP. A very strong industrial country or very financial stable nation can borrow up to perhaps 200% its GDP, debts over 250% GDP the country is bankrupt.
Greece's debt is 113.40% GDP, in danger as it is not considered a strong industrial or financial country, as we already know.
Iceland’s debt is 107.60% GDP, also in crisis as it is not so strong industrially or financially.
Singapore’s debt is 113.10%, not in hot water due to its global financial hub status, and also its financial strength. It's only dangerous for Singapore when it reaches 200%.
Japan’s debt is 189.30%, still under radar as a powerful Industrial nation. It needs to panic only at around 200%.
The US has the world largest debt, but it is only 62% of its GDP, it is not in any immediate danger of bankruptcy.
Zimbabwe’s debt is 282.60% GDP, it is a kaput nation.
Malaysia’s debt is currently At 53.70% GDP.... would have been much better if not for billions wasted thru corruption and mismanagement by UMNO.
Hong Kong and Taiwan are doing pretty good with debts at 32-37% GDP.
South Korea is even better with debts at 23.5% GDP.
China is very stable with debts at 16.90% GDP.
Russia is like a big mountain with debts @ only at 6.30% GDP.
There are only 5 countries with no debt, and are all comparatively small:
Brunei, Liechtenstein , Palau , Nieu, and Macau ( China )\

Liverpool 2-2 Man City, Liverpool yatinga fainali kombe la ligi



Bellamy akitia kambani  katika mechi hiyo

Liverpool waliweza kujitutumua baada ya kuwa nyuma na kupata sare iliyoipeleka fainali na kuisukuma nje Man City katika kombe la ligi baada ya kupata ushindi wa jumla ya 4-3 ambapo katika mchezo wa kwanza Liverpool iliichabanga Man City 1-0.

Barcelona 2-2 Real Madrid, Real yatupwa nje kombe la Mfalme



Real Madrid walifanikiwa kusawazisha magoli mawili baada ya kutoka mapumziko wakiwa wamechapwa 2-0, lakini pamoja na juhudi za kusawazisha na kutoka sare na Barcelona Real Madrid wamejikuta wakitupwa nje ya mashindano ya kombe la mfalme kwa jumla ya bao 4-3 baada ya kuchapwa 2-1 katika mechi ya kwanza.
Barcelona 2-2 Real Madrid

Simba yapaa baada ya kuwasambaratisha wagosi wa kaya,Azam yaiadhibu Lyon

















Mpachikaji wa bao la kwanza la Simba Haruna Moshi"Boban"

Wekundu wa Msimbazi, Simba jana walianza vizuri hekaheka za duru la pili la ligi hiyo baada ya kuichapa mabao 2-1 Coastal Union na kujiimarisha kileleni mwa msimamo, huku Azam ikiwa bado na 'harufu' ya ubingwa wa Kombe la Mapinduzi ikitumia vizuri uwanja wao wa Chamazi na kuzoa pointi zote tatu kutoka kwa African Lyon kwa ushindi kama wa Simba.

Ushindi wa Simba kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, umeiwezesha kufikisha pointi 31 ikiwa na pointi tatu mbele ya mahasimu wao Yanga waliolazimishwa sare ya 2-2 na Moro United katika siku ya kwanza ya ufunguzi wa duru la pili.

Katika mechi hiyo ilioyopooza na kukosa ladha na changamoto ya ushindani hasa kipindi cha kwanza, ilishuhudia timu zote zikikosa nafasi chache za kufunga.Simba ilikosa nafasi mbili muhimu kupitia kwa Patrick Mafisango dakika ya 23 na Boban dakika ya 33.

Pamoja na ushindi huo, Kocha wa Simba, Milovan Cirkovic alikiri timu kushindwa kujiamini na hivyo kucheza chini ya kiwango, huku akimsifu kiungo Boban kwa kuonyesha kiwango kizuri.

"Nimefurahishwa na pointi tatu tulizopata ingawa timu haikucheza kwa kujiamini kama nilivyotarajia," alisema Cirkovic mara baada ya mchezo.

Coastal Union ilicheza vizuri zaidi kipindi cha pili na kufanya shambulizi moja kubwa dakika ya 29 kupitia Benard Mwalala aliyeshindwa kuusukumiza wavuni mpira akiwa kwenye nafasi nzuri.Kutokuwapo kwa mshambuliaji wa Simba wa kimataifa kutoka Uganda, Emmanuel Okwi na majeruhi Felix Sunzu kulileta udhaifu kwenye safu ya ushambualiaji ya Wekundu hao wa Msimbazi.

Sehemu ya kiungo ndiyo iliyoonekana kucheza kwa kuelewana, huku Mkude na Kapombe wakiilisha vizuri mipira iliyoshindwa kumaliziwa vizuri na washambuliaji wa Simba.

Dakika tano kabla ya mapumziko Simba walifungua kiu ya mabao baada kiungo mshambuliaji, Haruna Moshi 'Boban' kukwamisha mpira wavuni kwa shuti akimalizia krosi ya Shomari Kapombe na matokeo kuwa 1-0.

Kipindi cha pili Simba ilianza mchezo kwa kasi na nusura wafanye matokeo kuwa 2-0 kama siyo shuti kali la mshambuliaji Gervais Kago kupanguliwa na kipa wa Union katika dakika ya 49.

Coastal nao walijibu shambulizi hilo dakika ya 53 na nusura mshambuliaji Mohamed Ibrahim amtungue kipa Juma Kaseja kama asingekuwa makini langoni.

Ushirikiano mzuri kati ya Kago na Boban uliishia kwa Wekundu hao wa Msimbazi kufunga bao la ushindi dakika ya 77 likiwekwa wavuni na Kago.

Coastal walijitutumua dakika za lala salama na moja ya shambulizi lao lilizaa penalti dakika ya 88 baada ya beki Juma Nyosso kumuangusha Salum Gila na Hamis Shengo kufunga kiki hiyo ya penalti.

Kocha wa Coastal, Juma Mgunda aliwalaumu wachezaji wake kwa kushindwa kutumia vizuri nafasi za kufunga walizopata hasa kipindi cha pili.

Simba ilifanya mabadiliko kwa kipindi cha pili, ambapo alitoka Patrick Mafisango na kuingia Ramadhan Singano, Kago/ Edward Christopher na Mwinyi Kazimoto/Salum Machaku.

Katika mechi nyingine iliyochezwa kwenye Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya jiji, wenyeji Azam walio kwenye kiwango kizuri waliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya African Lyon.

Azam walikuwa wa kwanza kupata bao baada ya beki wa Lyon, Hassan Mwamba kujifunga mwenyewe katika harakati za kuokoa shuti la Aggrey Morris dakika ya 16.

Lyon ilijibu shambulizi hilo muda mfupi baadaye na kujipatia bao la kusawazisha likifungwa kwa shuti kali la Semmy Kessy na kumshinda kipa Mwadin Ally.
Bao la ushindi lililoifikishia Azam pointi 26 kwenye msimamo lilifungwa na John Bocco dakika ya 36.

Kocha wa Lyon, Jumanne Chale alisema ameridhishwa na kiwango walichoonyesha wachezaji wake, ingawa amesikitishwa na bao la kujifunga wenyewe na kusema limewanyima matokeo mazuri

Zambia yatoshana nguvu na Libya

Nahodha wa Zambia mkongwe C.Katongo akiichachafya safu ya ulinzi ya Libya

Zambia na Libya jana Jumatano zilitoka sare ya 2-2 katika mechi ya iliyochezwa katika uwanja uliokuwa umeloa maji
Hata hivyo mechi hiyo ilikuwa ni wa kuvutia sana na uliojaa misisimko chungunzima.
Zambia 2 Vs 2 Libya

Mkwaruzano huo ulicheleweshwa kwa karibu saa moja nzima kutokana na uwanja kujaa maji yalisababishwa na mvua kubwa inayonyesha eneo hilo.
Kabla ya kwenda mapumzikoni mshambulizi wa Libya Ahmed Saad Osman aliifungia nchi yake magoli mawili.
Na katika kipindi cha pili Emmanuel Mayuka aliiwafungia vijana wa Chipolopolo bao la kwanza na halafu Christopher Katongo akafanya mambo kuwa 2-2.
Kabla ya hapo mechi hiyo ya kundi A ilionekana kama ingeliahirishwa kutokana na mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha.

Senegal yakong'otwa na Guinea kombe la mataifa ya Afrika

Kily aliifungia Guinea goli maridadi

Wenyeji wenza Equatorial Guinea imeshangaza wengi kwa kuibandua njee ya mashindano ya kombe la nchi bingwa barani Africa .
Kabla ya mashindano hayo kuanza , Senegal ni mojawapo ya nchi ambazo zilikuwa zimepigiwa upato wa kushinda kombe hilo.
Guinea 2 Vs 1 Senegal

Lakini Equatorial Guinea ambayo katika nafasi ya 151 katika orodha ya FIFA ya hivi karibuni waliyakatiza mautumaini ya Senegal.
Aliyefungua ukurasa wa magoli ni Randy lakini katika dakika ya 89 Moussa Sow aliifngia Senegal bao na kufanya mambo kuwa 1-1.
Ni katika dakika za majeruhi ambapo mchezaji Kily alifumua mkwaju mkali toka umbali wa yadi 25 hadi kimyani. Hivi mambo ya kawa Equitorial Guinea 2 Senegal 1.
Japo matokeo hayo ni pigo kwa Senegal lakini ni furaha kwa timu ya Newcastle ya Uingereza kwani washambulizi wake Demba Ba na Papiss Cisse wanarudi uingereza kuisaidia timu yao katika mechi za Premier