Wednesday, September 14, 2011

TIMU YA SOKA LA WANAWAKE URUSI KUVAA BIKINI KATIKA MECHI ZAO

Timu moja ya soka la wanawake nchini Urusi wameafikiana katika jambo la kipumbavu kabisa kuwa ili kuongeza umaridadi na wepesi katika kulisakata kandanda wawe wanavaa nguo za ndani maarufu kama"bikini". Timu hiyo inajulikana kama F.C Rossiyanka imeafiki hilo ili kuiweka timu yao katika ramani ya soka ulimwenguni zifuatazo ni baadhi ya picha za timu hiyo katika mazoezi.