Thursday, July 14, 2011

ARGENTINA WALIVYOICHABANGA COSTA RICA COPA AMERICA


Timu ya taifa ya ARGENTINA imetoa kipigo kikali kwa Costa Rica katika mashindano ya Copa America na zifuatazo ni picha za matukio katika mechi hiyo iliyochezwa Cordoba

Higuian alipata nafasi nyingi lakini aliambulia patupu
Di Maria wa Real Madrid akifunga goli lake la kwanza katika Copa America
3.jpg
Joel Campbell, ambaye alikuwa msaada mkubwa kwa Costa Rica licha ya kipigo cha 3-0

4.jpg
Pablo Zabaleta kushoto akiwania mpira na Elizondo wa Costa Rica
5.jpg
Messi akiiwaburuza walinzi wa Costa Rica
6.jpg
Higuian kulia katika jitihada za kutafuta goli bila mafanikio katika mechi hiyo

7.jpg
Aguero akishangilia goli lake la kwanza katika mechi hiyo alitupia wavuni mara mbili

 
8.jpg
Aguero,Messi na Di Maria wakishangilia goli la pili la Aguero
10.jpg
Aguero akifunga goli lake la tatu katika Copa America

11.jpg
Messi akikokota mpira kiulaini bila upinzani wowote kutoka kwa wachezaji wa Costa Rica
Aguero akimnyooshea vidole Messi kuashiria kuwa ndie mwiba wa usiku huo kwa Costa Rica hapo Cordoba