Thursday, June 30, 2011

JEZI MPYA 2011-2012 LIGI MBALIMBALI.

ARSENAL  "THE GUNNERS"


Nyumbani

                       Ugenini


MANCHESTER UNITED "THE RED DEVILS"

Nyumbani


                      Ugenini


CHELSEA "THE BLUES"

Nyumbani


                                 Ugenini


LIVERPOOL  "POOL"


Nyumbani


Ugenini


MANCESTER CITY "SKY BLUES"

Nyumbani


Ugenini


BARCELONA "CATALAN"

Nyumbani


Ugenini


REAL MADRID "THE WHITES"

Nyumbani


Ugenini


AC MILAN "THE RED AND BLACKS"

Nyumbani


INTER MILAN "THE BLACK AND BLUES"


Nyumbani


Ugenini


JUVENTUS "THE OLD LADY"

Nyumbani

Ugenini


TOTTENHAM "SPURS"

Nyumbani


































DUNIANI KUNA MAMBO.

Shabiki mwenye midadi akichezesha wachezaji.
Jamaa mmoja shabiki mkubwa wa soka alishindwa kujizuia kuhudhuria mechi ya fainali kati ya timu yake na timu pinzani, ambapo aliamua kwenda uwanjani na "controller" ili awachezeshe wachezaji anavyotaka yeye kitu ambacho ni kituko. Hali hii huwakuta mashabiki wengi hasa wale wanaojulikana kuwa na midadi,kwani shabiki mwenye midadi katika mchezo wowote ule anaweza kufanya vitu vya ajabu pale anapoenda sawa na move za mchezo sana sana mchezo wa soka, haishangazi kumuona shabiki akiyumbayumba uwanjani pale kunapokuwa na kosa kosa uwanjani na hata wakati mwingine shabiki huweza hata kupiga mashuti hewa kwa midadi ya mchezo.