Monday, June 20, 2011

MIJI IMARA KIUCHUMI MAREKANI.

LITTLE ROCK,Arkansas.
Little Rock ni mji wenye utajiri mkubwa ikihusisha kuwa na Hospitali kubwa,Taasisi za matibabu na pia mji huu una idadi kubwa ya shule na vyuo vyenye kutoa elimu bora. mji una idadi ndogo ya watu wasio na ajira kwani ni  7.7% kiasi ambacho ni kidogo ukilinganisha na kiasi cha Taifa ambacho idadi ya wasio na ajira ni 9.7% . Chuo cha sayansi ya madawa cha Arkansas ndio kinatoa ajira kwa jamii kwa idadi kubwa na masaa ya kufanya kazi ni Dakika 17.6, mji huu una wakazi 189,515. ukiwa  ni mji wa kwanza kwa utajiri, 29 kwa elimu, 22 kwa afya , 61 kwa usalama.

BILLING,Montana.
Mji huu una idadi ya wasio na ajira kwa 6%. una idadi ya watu wanaofikia 103,994. Ni mji wa 65 kwa kutoa elimu bora, wa 41 kwa huduma za afya ,59 kwa kuwa na usalama, ni namba 2 kwa uchumi mzuri. Utajiri wa mji huu unaletwa na hifadhi za Yellowstone,Grand Teton na Little Bighorn.Muda wa kufanya kazi ni dakika 15.

SIOUX FALLS,South Dakota
Mji huu una mbuga na hifadhi ndani ya eneo la heka zipatazo 2913, Mji huu unaonekana kama ndio kituo cha utamaduni, Na ni mji wenye idadi ndogo ya uhalifu,msongamano mdogo wa magari na idadi ndogo ya uchafuzi wa mazingira huku ukiwa na uwiano wa 13/1 ya wanafunzi na kuufanya kuwa mji bora kwa elimu. Idadi ya watu inafikia 154,997. Ni mji wa 60 kwa elimu bora, 3 kwa afya bora na huduma za afya, 45 kwa usalama, 3 kiuchumi.

SALT LAKE CITY,Utah.
Mji huu una idadi ya watu inayofikia 181,698. Masaa ya kufanya kazi ni dakika 20, ni mji wa 59 kwa kutoa elimu bora, 27 kwa huduma nzuri za afya, 75 kwa usalama, na wa 4 kwa uchumi. Uwapo Salt lake usafiri kufika popote pale kwa urahisi na uhakika ambapo kutoka mjini mpaka uwanja wa ndege ni dakika 10 tu na usafiri upo kila kona ya mji.

TULSA,Oklahoma.
Mji huu una idadi ya watu wapatao 385,635. Muda wa kufanya kazi ni dakika 17.8, Ni mji wa 5 kwa utajiri, 57 kwa usalama, 52 kwa huduma bora za afya, wastani wa walimu nawanafunzi ni 15/1. 



TETESI USAJILI LIGI KUU UINGEREZA.

Everton waamini wanaweza kuipiku Bayern Munich kumnasa mjapani Usami.

Roma wapo tayari kupandisha dau kufikia paundi za uingereza milioni 8 kumnasa Clichy na kuipiku Liverpool ambayo nayo inamuwania beki huyo wa Arsenal.

Wolves waungana na Sunderland kumuwania Gardner.

Wolves wamhitaji Konchesky toka Liverpool.

Ron Green kwenda Celtic.

Lua lua akataa aamua kuitosa Southampton.

Stoke City wakamilisha usajili wa wachezaji wawili kutoka Birmigham Cameron Jerome na Scott Dann kwa paundi za uingereza milioni 11 kwa wote wawili.

Yobo kwenda Celtic kwa mkopo,taarifa kamili wiki hii.

Guus Hiddink kutua Chelsea,taarifa zaidi wiki ijayo.

Preston kumsajili Chris Iwelumo kutoka Barnley kwa paundi a uingereza 450,000 na Burnley kumsajili Keith Treacy kutoka Preston kwa paundi milioni 1.4.

Liverpool kuwasajili Nzogbia,Zapata,Downing, Adam and Wickham na kuwauza Konchesky,Kyriakos,Poulsen,B Jones,N'gog na pia huenda wakamuuza Aquillan.

Alex Smithies asaini Burnley kwa paundi milioni 1.5 baada ya mazungumzo marefu na Eddie Howe jana mchana na kulipwa paundi 6000 kwa wiki na mkataba wa miaka mitatu.

Newcastle kukamilisha usajili wa Gabriel Agbenlahor ijumaa hii kwa kitita cha paundi za uingereza milioni 7.

Abdoulaye Meite kutua Norwich, pia kumchukua Stephen Caldwell bure.

Reo-Cooker kurudi uingereza na huenda akasaini Westham.

Steve Morisson toka Millwall kwenda Norwich City

Jamie O'hara toka Tottenham kwenda Wolves.

Christophe Samba toka Blackburn kwenda Arsenal.

Ali Al-Habsi toka Bolton kwenda Wigan.

James MarCathy toka Wiga kwenda Liverpool.

Ashley Young toka Aston Villa kwenda Man United.

Matt Jarvis toka Wolves kwenda Aston Villa.

Peter Crouch toka Tottenham kwenda Sunderland.

David Vaughan toka Blackpoolkwenda Albion.

Scott Parker toka Westham kwenda Tottenham.

Rob Green toka Westham kwenda Arsenal.

Carlton Cole toka Westham kwenda Stoke City.

Frederic Piquionne toka Westham kwenda Albion.

DJ Campbell toka Blackpool kwenda Sunderland.

David Jones huru kwenda Stoke City.

Shane Long toka Reading kwenda Newcastle.

Samir Nasri toka Arsenal kwenda Man United.

Emmanuel Adebayor toka Man City kwenda AC Milan.

Kaka toka Real Madrid kwenda Man City.

Mathew Mills toka Reading kwenda Norwich City.

Sam Vokes toka Wolves kwenda Southampton.

Adam Lallana toka Southampton kwenda Newcastle United.

Alex Oxlade-Chamberlain toka Southampton kwenda Arsenal.

Niklas Bendtner toka Arsenal kwenda Juventus.

Richard Dunne toka Aston Villa kwenda Wolves.

Federico Macheda toka Man United kwenda West Bromwich Albion.

Danny Graham toka Watford kwenda Queen's Park Rangers.

Kayle Walker toka Tottenham kwenda Queen's Park Rangers.

Gabriel Obertan toka Man United kwenda Swansea City.

Jimmy Kebe toka Reading kwenda Swansea City.

Defoe kwenda Newcastle kwa paundi za uingereza milioni 8.9

Emily Heskey kurudi Leicester kwa paundi za uingereza 500,000.

Sevilla watoa ofa ya paundi za uingereza milioni 8 kumnasa Denilson toka Arsenal.

KAMA BEI YA PETROLI ITAENDELEA KUPAA JUU,MAMBO HUENDA YAKAWA HIVI.